Serikali Kuendelea Kuiunga Mkono Timu ya Riadha inayoshiriki Olimpiki.

Na Octavian Kimario,Arusha Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Pauline Gekul amesema kuwa Serikali inaendelea kuiwezesha timu ya Riadha  ili iweze kufanya vyema katika mashindano ya ndani na  Kimataifa.  Mhe. Gekul amesema hayo Julai 11, 2021 Jijini Arusha alipowakibidhi wachezaji wa Timu ya Taifa ya Riadha bendera ya Taifa, vifaa vya michezo pamoja na tiketi